Naibu Spika Mpya Mh.Job Ndugai
Mheshimiwa Job Ndugai mbunge wa Kongwa ametangazwa kuwa Naibu Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.Ameshinda kwa kura 276 sawa na 84% dhidi ya mpinzani wake Mh.Mustapha Akonay.
Habari zaidi toka bungeni zinasema Mh. Job Ndugai ameshaapa na anakuwa naibu spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, rasmi.
No comments:
Post a Comment