Mtazamohalisi

Wednesday, November 10, 2010

Viongozi wa Kitaifa wawasili Dodoma

Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wakazi wa mji wa Dodoma waliojitokeza na kumpa mapokezi ya furaha katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo asubuhi(picha na Freddy Maro)

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuwasalimu  wananchi wa mkoa wa Dodoma, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa mjini Dodoma leo Nov 10, ikiwa ni ziara yake ya kwanza kufanya mkoani hapa tangu apate wadhifa huo. Kiongozi huyo atakuwa mkoani hapa kuhudhuria mikutano ya CCM katika ngazi za Kamati Kuu na Halmshauri Kuu na kisha sherehe za kuapishwa wabunge sambamba na uteuzi wa Waziri Mkuu. Picha na Muhidin Sufiani


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...