Mtazamohalisi

Friday, November 12, 2010

Spika wa Zamani Mh.Samuel Sitta akila kiapo cha Ubunge

Spika Mstaafu Samuel Sitta


Mheshimiwa Samuel Sitta ,Mbunge wa Urambo Mashariki akila kiapo cha Mbunge mbele ya Naibu wake wa zamani na mrithi wake wa kiti cha Uspika Bi.Anna Makinda.

Hongera kwa kuonesha ukomavu, Mheshimiwa Sitta sauti yako dhidi ya ufisadi kwa Taifa letu tungali tukiihitaji.Kwa kuwa mchezo wa siasa  ni kitendawili ikiwa utateuliwa kuwa waziri bado tunakuomba uendelee kuwa mpiganaji hadi pumzi yako ya mwisho.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...