Mtazamohalisi

Thursday, November 11, 2010

Spika Mpya ni Anna Makinda au Mh Mabere Marando



Baada ya kushinda kwa kishindo na kuwa acha mbali wagombea wenzake katika kinyang'anyiro cha kiti cha Uspika, kama kura zinavyojionesha:-
Makinda kura 211

Anna Abdalah 14

Kate kamba 15
Mh. Bi Anna Makinda  wa CCM atapambana na Mh. Mabere Marando wa Chadema.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...