Mtazamohalisi

Sunday, December 12, 2010

Kilimanjaro Stars Bingwa Mpya Kombe La Tusker Chalenge 2010

Yaifunga Ivory Coast 1 Nunge
Sasa Si Kichwa Cha Mwendawazimu
Hongera Kocha Mpya Jan Poulsen
Hongera Tanzania



Kikosi cha ushindi cha Kilimanjaro stars

 Kikosi Cha Ivory Coast

Nahodha wa Kili Stars,Shadrack Nsajigwa akifunga bao la penalti.
Bao la ushindi,bao la Tanzania mpya katika ulimwengu wa soka

Tupo pamoja tukikirudi kiduku-licha ya kutocheza kwa kuwa na kadi
mbili za njano Mrisho Ngasa alijumuika kunyimwaga na wenzake

Kipa wa Kilimanjaro Stars Juma Kaseja akionesha tuzo yake ya
kipa bora wa Tusker challenge 2010


Kocha mkuu wa Kilimanjaro Stars,Jan Poulsen akimshika mwari
pamoja na nahodha wake Shadrick Nsajigwa.Kikosi kizima cha
Kilimanjaro Stars bingwa mpya kombe la Tusker Challenge 2010
katika picha ya pamoja.Stars wameibuka na kombe na kitita cha
US$ 30000/= -hongera Kilimanjaro Stars,Hongera Tanzania.

Picha kwa hisani ya
(Michuzi na Sufiani Mafoto).

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...