
Rais Mstaafu,Ali Hassan Mwinyi
Alikuwa akijibu swali kwenye mahojiano na waandishi wa habari lililomtaka kujua msimamo wake juu ya kauli za madai ya katiba mpya.Mwinyi alisema"hakubaliani na wazo la kuwa na katiba mpya kwani kwasasa si muda muafaka".
Alisema"kabla ya kubadili katiba ya sasa,Watanzania wajiulize wenyewe ni kwa manufaa ya nani na kwa lengo gani lakutaka mabadiliko ".Hata hivyo,Mwinyi alisema ipo nafasi ya mazungumzo,lakini akapingana na wale wanaotoa madai ya haraka ,kama vile nchi imekosa kitu muhimu.

Habari kamili ,gonga hapa Guardian
No comments:
Post a Comment