Mtazamohalisi

Thursday, December 16, 2010

Fainali Za FIFA CWC 2010 Ni TP Mazembe Vs Inter Milan -Mazembe Fahari Ya Afrika

Fainali itachezwa Jumamosi 18/12/2010
Sherehe kama hii tunaitaka tena


Inter milan 3 vs Seongnam Ilhwa Chunma F.C 0


Wakati huo huoTanzania imepanda chati kwa nafasi nane katika viwango vya ubora wa soka kwa mujibu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa, Fifa vilivyotangazwa jana.

Hii imetokana na kutwaa ubingwa wa Cecafa Tusker Challenge Cup ambayo yanatambulika na Fifa kama ni miongoni mwa mechi za kirafiki za kimataifa.Habari kamili gonga hapa  Mwananchi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...