
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete,akipunga mkono kuwasalimia
wananchi wakati alipokuwa akiingia Uwanja wa Uhuru Dar

Rais Dkt.Jakaya Kikwete,akikagua gwaride
Rais Dk Jakaya Kikwete, akisalimiana na Makamu wake,
Dk Mohamed Gharib Bilal. wakati alipokuwa akiingia uwanjani hapo Rais Dk Jakaya Kikwete, akisalimiana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar,Maalim Seif na baadhi ya viongozi wa Serikali, alipoingia uwanjani hapoPicha Zote na Fersddy Maro
|
|
No comments:
Post a Comment