Mtazamohalisi

Thursday, December 9, 2010

Sherehe Za Miaka 49 Ya Tanzania

                          Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete,akipunga mkono kuwasalimia
                          wananchi wakati alipokuwa akiingia Uwanja wa Uhuru Dar

                                        Rais Dkt.Jakaya Kikwete,akikagua gwaride

     Rais Dk Jakaya Kikwete, akisalimiana na Makamu wake,
                     Dk Mohamed Gharib Bilal. wakati alipokuwa akiingia uwanjani hapoRais Dk Jakaya Kikwete, akisalimiana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar,Maalim Seif na baadhi ya viongozi wa Serikali, alipoingia uwanjani hapoPicha Zote na Fersddy Maro
                                          

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...