Mtazamohalisi

Friday, December 3, 2010

Rais Jakaya Kikwete Akabidhi Uenyekiti Wa Afrika Mashariki Kwa Rais Nkurunzinza Wa Burundi


Mwenyekiti wa Jumuiya ya nchi za Afrika Mashariki anayemaliza muda wake,Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhi uenyekiti wa jumuiya hiyo kwa Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakati wa mkutano wa kumi na mbili wa kilele wa wakuu wa nchi ya jumuiya hiyo uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto nje kidogo ya mji wa Arusha jana jioni.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya nchi za Afrika Mashariki aliyemaliza muda wake,Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Mwenyekiti Mpya wa Jumuiya hiyo,Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi mara baada ya kumkabidhi uenyekiti huo(Picha:Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...