Mtazamohalisi

Saturday, January 1, 2011

Wauwa Katika Mkesha wa Mwaka Mpya

Alexandria,Misri
Watu 21 wauwa wakitoka kwenye misa ya mwaka mpya


Abuja,Nigeria
Kumetokea mlipuko mkubwa katika eneo lenye mkusanyiko mkubwa wa watu
Walikuwa wapo kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya
Takribani watu 4 wauawa na 13 kujeruhiwa kwa mujibu wa maofisa wa polisi
wakati TV ya Taifa imetoa idadi ya waliouwa ni watu 30.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...