Mtazamohalisi

Friday, December 31, 2010

Australia-Sura Tatu Zakaribisha Mwaka Mpya

Kaskazini Ya Australia Yakumbwa na Mafuriko
Ukubwa wa eneo la Kaskazini ni sawa na nchi
ya Ujerumani na Ufaransa kwa pamoja au kwa
nchi kama Marekani ni eneo zima la Texas.
Watu takribani 200000 waokolewa


Kusini Mashariki ya Australia yakubwa na ongezeko kubwa la joto

Hatimaye Mji wa Sydney wafurahia Ujio wa mwaka mpya

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...