Mtazamohalisi

Monday, November 22, 2010

Tarik Aziz Ahaha Kutaka Msamaha wa Rais wa Iraq


Toka shoto ni Tarik Aziz
akiwa na Saddam Hussein
wakati wa utawala wao
  
























Mawakili wa Tarik Aziz wamuomba Rais wa Iraqkumsamehe mshirika wa Saddam Hussein,aliyehukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya mashia.

Aziz alikuwa mwakilishi wa kimataifa katika utawala wa Saddam Hussein na mkristo pekee katika baraza la mawaziri akiwa anashikilia vyeo vya waziri wa mambo ya nje na naibu waziri mkuu.

Wakili wake,Giovanni Di Stefano,amesema ana matarajio ya mteja wake kupata msamaha, kutokana na kuombewa msamaha na mataifa ya ulaya na Vatican, na pia kitendo cha rais wa Iraq Jalal Talabani kukataa kuweka sahihi ya kuruhusu kunyLakini kuna utata kama Talabani anaweza kumsamehe Aziz,kwani msamaha wa rais kwa mujibu wa katiba ya Iraq lazima kupata ridhaa ya waziri mkuu ambaye ni shia.

Chanzo: http://gulfnews.com/news/region/iraq/tarek-aziz-seeks-pardon-from-iraqi-president-1.716113

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...