Mtazamohalisi

Wednesday, January 26, 2011

Waarabu Wataka Mabadiliko

        Tunisia yataka Ben Ali akamatwe          
Waziri wa sheria wa Tunisia amesema nchi hiyo imetoa hatia ya kimataifa ya kukamatwa kwa Rais aliyekimbia Zine al-Abidine Ben Ali na familia yake.


Lazhar Karoui Chebbi alisema Tunisia imeiomba shirika la polisi la kimataifa Interpol kumkamata Ben Ali, aliyekimbilia Saudi Arabia mapema mwezi huu kufuatia maandamano makubwa nchini humo.

Bw Chebbi alisema Bw Ben Ali ashtakiwe kwa wizi wa mali na kuhamisha patoa la taifa la fedha za kigeni.

Aliyasema hayo huku maandamano ya kuipinga serikali yakiendelea.

Chanzo: BBC

Maandamano Tunisia
Nyumba Ya Familia Ya  Rais Ben Ali  Yavamiwa


Mitandao imerahisisha sauti ya Umma


Misri kwafuka Moto Licha Vitisho Vya Serikali
kwa kuweka waandamanaji 500 kizuizini nakuua 4
 Marekani  Yaitaka Misri kuruhusu Maandamano
 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...