Aeleza kuhusu Dowans
Ofisi ya kadhi
Mkataba wa Tido Mhando
Mtazamohalisi
Saturday, December 18, 2010
Friday, December 17, 2010
Angalia Athari Ya Mabadiliko Ya Hali Ya Hewa
Mashariki Ya Kati(Dec 13,2010)
Ulaya Viwanja Vya ndege ,shule na huduma nyengine zimesimama
(dec 18,2010 )
Ulaya Viwanja Vya ndege ,shule na huduma nyengine zimesimama
(dec 18,2010 )
Cancun Na Kutofikiwa Makubaliano Ya Mabadiliko Ya Hali Ya Hewa
Ikiwa ni muendelezo wa mikutano mingi kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa kama wa Kyoto,Copehagen na kwa mara nyengine mkutano wa Cancun, Mexico umeendeleza kile kinachoonekana kufeli kwa makubaliano baina ya nchi tajiri na maskini kuhusu upunguzaji wa uzalishaji wa kaboni kwa digrii 4 kabla 2060.
Inasemekana 20% ya uzalishaji wa kaboni dunia inatoka Nchi zinazoendelea kutokana na uchomaji misitu hali nchi zilizoendelea zikiwa vinara wa uzalishaji wa kaboni kutokana na matumizi ya viwanda.
Benki ya dunia kama mdhamini wa mabadiliko ya hali ya hewa duniani imekutwa na kashfa ya kutokuwa makini katika mambo yake hasa linapokuja suala la uchumi na nchi matajiri.Ni taasisi inayoendeshwa na mataifa tajiri na kuzinyima sauti nchi maskini kwenye maamuzi makubwa ya uchumi wa dunia.
WIKILEAKS ilipiga msumari wa dau pale ilipotoa kashfa kuhusu nchi matajiri kutumia pesa za kuchangia kupunguza mabadiliko ya hali ya hewa kwa nchi maskini kama rushwa ili kudhoofisha lengo la nchi tajiri kupunguza uzalishaji wa kaboni. Pesa hizi zinatolewa na nchi tajiri na kusimamiwa na Benki ya dunia,taasisi ambayo nchi maskini hazina imani nayo kutokana na uendeshwaji wake kutokuwa wa kidemokrasia.
Kabla ya mkutano wa Cancun nchi kama Marekani ilitishia kujitoa mkutanoni kama matakwa yake hayata timizwa,Japan nayo ikisisitiza utekelezwaji wa makubaliano ya Kyoto hali Urusi ikishinikiza kuwa kama Japan haita ahidi zaidi ya makubaliano ya Kyoto basi na wao hawako tayari.
Ingawa kulikuwa na shinikizo kubwa toka Marekani,nchi zinazoendelea na Ngo's ilikufikia mkataba mwengine unaolingana na ule wa Kyoto.Lakini juhudi hizo hazikuleta mabadiliko yoyote na kubaki kukubalina kutokubaliana.
Ikiwa maafikiano hayatafikiwa ili kutekeleza lengo la upunguzaji wa uzalishaji wa kaboni duniani kwa digrii 4 kabla ya mwaka 2060,watu na viumbe wengi duniani wataendelea kuathirika na mabadiliko ya hali ya hali ya hewa ambayo hawakuya sababisha kutokana na usaliti wa viongozi wao.
Mkataba wa Kyoto ndiyo mkataba rasmi unaotambulikana na umoja wa mataifa. na kutofikiwa makubaliano baina ya nchi tajiri na maskini ,mkataba wa Kyoto unaelekea kufa taratibu.
Chanzo: Conspiracy
Athari ya mabadiliko ya hali hewa(The day after tomorrow)
Inasemekana 20% ya uzalishaji wa kaboni dunia inatoka Nchi zinazoendelea kutokana na uchomaji misitu hali nchi zilizoendelea zikiwa vinara wa uzalishaji wa kaboni kutokana na matumizi ya viwanda.
Benki ya dunia kama mdhamini wa mabadiliko ya hali ya hewa duniani imekutwa na kashfa ya kutokuwa makini katika mambo yake hasa linapokuja suala la uchumi na nchi matajiri.Ni taasisi inayoendeshwa na mataifa tajiri na kuzinyima sauti nchi maskini kwenye maamuzi makubwa ya uchumi wa dunia.
WIKILEAKS ilipiga msumari wa dau pale ilipotoa kashfa kuhusu nchi matajiri kutumia pesa za kuchangia kupunguza mabadiliko ya hali ya hewa kwa nchi maskini kama rushwa ili kudhoofisha lengo la nchi tajiri kupunguza uzalishaji wa kaboni. Pesa hizi zinatolewa na nchi tajiri na kusimamiwa na Benki ya dunia,taasisi ambayo nchi maskini hazina imani nayo kutokana na uendeshwaji wake kutokuwa wa kidemokrasia.
Kabla ya mkutano wa Cancun nchi kama Marekani ilitishia kujitoa mkutanoni kama matakwa yake hayata timizwa,Japan nayo ikisisitiza utekelezwaji wa makubaliano ya Kyoto hali Urusi ikishinikiza kuwa kama Japan haita ahidi zaidi ya makubaliano ya Kyoto basi na wao hawako tayari.
Ingawa kulikuwa na shinikizo kubwa toka Marekani,nchi zinazoendelea na Ngo's ilikufikia mkataba mwengine unaolingana na ule wa Kyoto.Lakini juhudi hizo hazikuleta mabadiliko yoyote na kubaki kukubalina kutokubaliana.
Ikiwa maafikiano hayatafikiwa ili kutekeleza lengo la upunguzaji wa uzalishaji wa kaboni duniani kwa digrii 4 kabla ya mwaka 2060,watu na viumbe wengi duniani wataendelea kuathirika na mabadiliko ya hali ya hali ya hewa ambayo hawakuya sababisha kutokana na usaliti wa viongozi wao.
Mkataba wa Kyoto ndiyo mkataba rasmi unaotambulikana na umoja wa mataifa. na kutofikiwa makubaliano baina ya nchi tajiri na maskini ,mkataba wa Kyoto unaelekea kufa taratibu.
Chanzo: Conspiracy
Athari ya mabadiliko ya hali hewa(The day after tomorrow)
Rais Sarkozy amemtaka Gbagbo angatuke
Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy amemtaka kiongozi aliyeng'ang'ania madarakani nchini Ivory Coast Laurent Gbagbo aondoke kabla ya mwisho wa wiki, la sivyo atakabiliwa na vikwazo vya Muungano wa Ulaya.

Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy
Bw.Gbagbo amepinga miito ya Kimataifa ya kung'atuka madarakani kufuatia uchaguzi wa Rais uliomalizika mwezi uliopita.
Yeye pamoja na kiongozi wa upinzani Alassane Ouattara walidai kuwa wameshinda na kuzusha wasiwasi wa uwezekano wa kuzuka mapigano ya nchini.
Wafuasi wa Ouattara wanasema watafanya maandamano mitaani, siku moja baada ya miliyo ya risasi katika mji mkuu Abidjan.
Rais Sarkozy ameonya kwa kusema kuwa majaliwa ya Bw.Gbagbo na mke wake ni jukumu lao kwa sasa. Na ikiwa ifikao mwisho wa wiki hii hawajaachilia hatamu za uongozi wanaoshikilia kinyume cha chaguo la raia wa Ivory Coast, wataorodheshwa jina kwa jina kwenye orodha ya watu waliopigwa marufuku na Muungano wa Ulaya.
Afisa wa ngazi ya juu wa Marekani naye amenukuliwa akisema kuwa Bw.Gbagbo amepewa mda wa kutosha aondoke la sivyo atawekewa vikwazo vya kusafiri na pia vikwazo vya fedha zake.
Afisa ambaye hakutambulishwa amesema kuwa Gbagbo na familia yake wana nyumba kadhaa katika nchi nyingi ambako angeweza kuhamia lakini asipotii masharti haya huenda akapoteza fursa hiyo na nyumba hizo kuwa marufuku kwake.
Mwandishi wa BBC amesema kuwa hili litawashangaza raia wengi wa Ivory Coast ambao hawakujua siri hiyo wakimuona Gbagbo kama mzalendo anayepigania na kuipenda nchi yake bila kuwa na mali nje.
Watu ishirini waliuawa siku ya alhamisi wakati wafuasi wa Bw Ouattara walipojaribu kuandamana wakielekea kituo cha televisheni ya Taifa na kukabiliana na vikosi vinavyomtii Bw.Gbagbo.
Msemaji wa Bw.Gbagbo alisema kuwa waandamanaji 10 na askari 10 wa jeshi waliuawa.
Maofisa wa kambi ya Bw.Ouattara walitaja idadi ya wafu kuwa 30 na zaidi.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeonya kuwa pande zote mbili zitawajibishwa chini ya sheria ya Kimataifa kwa shambulio lolote dhidi ya raia.
Umoja wa Mataifa pamoja na viongozi wa Umoja wa Afrika na nchi za magharibi wamemuunga mkono Bw.Ouattara kama mshindi wa Uchaguzi uliofanywa huko Ivory Coast.
Chanzo: BBC
Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy
Bw.Gbagbo amepinga miito ya Kimataifa ya kung'atuka madarakani kufuatia uchaguzi wa Rais uliomalizika mwezi uliopita.
Yeye pamoja na kiongozi wa upinzani Alassane Ouattara walidai kuwa wameshinda na kuzusha wasiwasi wa uwezekano wa kuzuka mapigano ya nchini.
Wafuasi wa Ouattara wanasema watafanya maandamano mitaani, siku moja baada ya miliyo ya risasi katika mji mkuu Abidjan.
Rais Sarkozy ameonya kwa kusema kuwa majaliwa ya Bw.Gbagbo na mke wake ni jukumu lao kwa sasa. Na ikiwa ifikao mwisho wa wiki hii hawajaachilia hatamu za uongozi wanaoshikilia kinyume cha chaguo la raia wa Ivory Coast, wataorodheshwa jina kwa jina kwenye orodha ya watu waliopigwa marufuku na Muungano wa Ulaya.
Afisa wa ngazi ya juu wa Marekani naye amenukuliwa akisema kuwa Bw.Gbagbo amepewa mda wa kutosha aondoke la sivyo atawekewa vikwazo vya kusafiri na pia vikwazo vya fedha zake.
Afisa ambaye hakutambulishwa amesema kuwa Gbagbo na familia yake wana nyumba kadhaa katika nchi nyingi ambako angeweza kuhamia lakini asipotii masharti haya huenda akapoteza fursa hiyo na nyumba hizo kuwa marufuku kwake.
Mwandishi wa BBC amesema kuwa hili litawashangaza raia wengi wa Ivory Coast ambao hawakujua siri hiyo wakimuona Gbagbo kama mzalendo anayepigania na kuipenda nchi yake bila kuwa na mali nje.
Watu ishirini waliuawa siku ya alhamisi wakati wafuasi wa Bw Ouattara walipojaribu kuandamana wakielekea kituo cha televisheni ya Taifa na kukabiliana na vikosi vinavyomtii Bw.Gbagbo.
Msemaji wa Bw.Gbagbo alisema kuwa waandamanaji 10 na askari 10 wa jeshi waliuawa.
Maofisa wa kambi ya Bw.Ouattara walitaja idadi ya wafu kuwa 30 na zaidi.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeonya kuwa pande zote mbili zitawajibishwa chini ya sheria ya Kimataifa kwa shambulio lolote dhidi ya raia.
Umoja wa Mataifa pamoja na viongozi wa Umoja wa Afrika na nchi za magharibi wamemuunga mkono Bw.Ouattara kama mshindi wa Uchaguzi uliofanywa huko Ivory Coast.
Chanzo: BBC
Larry King Astaafu Baada Ya Miaka 25 ya CNN-Larry King Live
Atakumbukwa kwa kipindi chake cha mahojiano na watu Maarufu
Maswali yake yaliibua siri nyingi zilizofichika.
Katika muda wa miaka 53 ya utangazaji,King amefanya mahojiano 53000 kati ya hizo 6120 zipo kwenye kumbukumbu za CNN.Amepata tuzo mbalimbali za kuendesha mahojiano na miongoni mwao ni tuzo ya GUINESS kwa kushikilia rekodi ya muda mrefu ya kuendesha kipindi na kwa kufata muda .
Akikumbushia jinsi mazingira wakati anaanza kufanya kazi alisema"wakati ninaanza miaka 25 iliyopita katika ofisi ndogo katika jiji la Washington sikudhani kama itanichukua muda mrefu au kumaliza kama hivi".
Larry King atakuwa akiwajibika kwenye shughuli muhimu za CNN.
Zaidi: CNN
Kwa heri Larry King Nyayo zako ni ngumu kuzifuta
Mrithi wake ni Mwandishi wa habari za Udaku wa Uingereza Piers Morgan
Maarufu Marekani kama Jaji wa America's Got Talent
Maswali yake yaliibua siri nyingi zilizofichika.
Katika muda wa miaka 53 ya utangazaji,King amefanya mahojiano 53000 kati ya hizo 6120 zipo kwenye kumbukumbu za CNN.Amepata tuzo mbalimbali za kuendesha mahojiano na miongoni mwao ni tuzo ya GUINESS kwa kushikilia rekodi ya muda mrefu ya kuendesha kipindi na kwa kufata muda .
Akikumbushia jinsi mazingira wakati anaanza kufanya kazi alisema"wakati ninaanza miaka 25 iliyopita katika ofisi ndogo katika jiji la Washington sikudhani kama itanichukua muda mrefu au kumaliza kama hivi".
Larry King atakuwa akiwajibika kwenye shughuli muhimu za CNN.
Zaidi: CNN
Kwa heri Larry King Nyayo zako ni ngumu kuzifuta
Mrithi wake ni Mwandishi wa habari za Udaku wa Uingereza Piers Morgan
Maarufu Marekani kama Jaji wa America's Got Talent
Mwinyi:Kwanini Mnaharakia Katiba Mpya?
Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amesema haoni umuhimu wa katiba mpya kwa sasa,nakuwataka wanaotoa madai ya katiba mpya kueleza maeneo gani ya kurekebishwa kwenye katiba ya sasa.

Rais Mstaafu,Ali Hassan Mwinyi
Alikuwa akijibu swali kwenye mahojiano na waandishi wa habari lililomtaka kujua msimamo wake juu ya kauli za madai ya katiba mpya.Mwinyi alisema"hakubaliani na wazo la kuwa na katiba mpya kwani kwasasa si muda muafaka".
Alisema"kabla ya kubadili katiba ya sasa,Watanzania wajiulize wenyewe ni kwa manufaa ya nani na kwa lengo gani lakutaka mabadiliko ".Hata hivyo,Mwinyi alisema ipo nafasi ya mazungumzo,lakini akapingana na wale wanaotoa madai ya haraka ,kama vile nchi imekosa kitu muhimu.
Wakati Mwinyi akiyasema hayo, Profesa Lipumba mwenyekiti wa chama cha CUF amewataka watanzania kuungana katika madai ya katiba mpya. Alisema katiba mpya itasaidia kuwa na demokrasia ya kweli itakayo kuwa msingi kwa muelekeo wa maendeleo ya taifa kwani umuhimu wake kwasasa ni kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae.
Habari kamili ,gonga hapa Guardian
Rais Mstaafu,Ali Hassan Mwinyi
Alikuwa akijibu swali kwenye mahojiano na waandishi wa habari lililomtaka kujua msimamo wake juu ya kauli za madai ya katiba mpya.Mwinyi alisema"hakubaliani na wazo la kuwa na katiba mpya kwani kwasasa si muda muafaka".
Alisema"kabla ya kubadili katiba ya sasa,Watanzania wajiulize wenyewe ni kwa manufaa ya nani na kwa lengo gani lakutaka mabadiliko ".Hata hivyo,Mwinyi alisema ipo nafasi ya mazungumzo,lakini akapingana na wale wanaotoa madai ya haraka ,kama vile nchi imekosa kitu muhimu.
Habari kamili ,gonga hapa Guardian
Thursday, December 16, 2010
Fainali Za FIFA CWC 2010 Ni TP Mazembe Vs Inter Milan -Mazembe Fahari Ya Afrika
Fainali itachezwa Jumamosi 18/12/2010
Sherehe kama hii tunaitaka tena
Inter milan 3 vs Seongnam Ilhwa Chunma F.C 0
Wakati huo huoTanzania imepanda chati kwa nafasi nane katika viwango vya ubora wa soka kwa mujibu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa, Fifa vilivyotangazwa jana.
Hii imetokana na kutwaa ubingwa wa Cecafa Tusker Challenge Cup ambayo yanatambulika na Fifa kama ni miongoni mwa mechi za kirafiki za kimataifa.Habari kamili gonga hapa Mwananchi
Sherehe kama hii tunaitaka tena
Inter milan 3 vs Seongnam Ilhwa Chunma F.C 0
Wakati huo huoTanzania imepanda chati kwa nafasi nane katika viwango vya ubora wa soka kwa mujibu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa, Fifa vilivyotangazwa jana.
Hii imetokana na kutwaa ubingwa wa Cecafa Tusker Challenge Cup ambayo yanatambulika na Fifa kama ni miongoni mwa mechi za kirafiki za kimataifa.Habari kamili gonga hapa Mwananchi
Subscribe to:
Posts (Atom)